Agano la Kale

Agano Jipya

Ufu. 2:25-29 Swahili Union Version (SUV)

25. Ila mlicho nacho kishikeni sana, hata nitakapokuja.

26. Na yeye ashindaye, na kuyatunza matendo yangu hata mwisho, nitampa mamlaka juu ya mataifa,

27. naye atawachunga kwa fimbo ya chuma, kama vyombo vya mfinyanzi vipondwavyo, kama mimi nami nilivyopokea kwa Baba yangu.

28. Nami nitampa ile nyota ya asubuhi.

29. Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa.

Kusoma sura kamili Ufu. 2