Agano la Kale

Agano Jipya

Ufu. 15:7 Swahili Union Version (SUV)

Na mmoja wa wale wenye uhai wanne akawapa wale malaika saba vitasa saba vya dhahabu, vimejaa ghadhabu ya Mungu, aliye hai hata milele na milele.

Kusoma sura kamili Ufu. 15

Mtazamo Ufu. 15:7 katika mazingira