Agano la Kale

Agano Jipya

Ufu. 15:2 Swahili Union Version (SUV)

Tena nikaona kitu kama mfano wa bahari ya kioo iliyochangamana na moto, na wale wenye kushinda, watokao kwa yule mnyama, na sanamu yake, na kwa hesabu ya jina lake, walikuwa wamesimama kando-kando ya hiyo bahari ya kioo, wenye vinubi vya Mungu.

Kusoma sura kamili Ufu. 15

Mtazamo Ufu. 15:2 katika mazingira