Agano la Kale

Agano Jipya

Ufu. 14:18 Swahili Union Version (SUV)

Na malaika mwingine akatoka katika ile madhabahu, yule mwenye mamlaka juu ya moto; naye akamlilia kwa sauti kuu yule mwenye mundu ule mkali, akisema, Tia mundu wako mkali, ukachume vichala vya mzabibu wa nchi, maana zabibu zake zimeiva sana.

Kusoma sura kamili Ufu. 14

Mtazamo Ufu. 14:18 katika mazingira