Agano la Kale

Agano Jipya

Ufu. 14:10 Swahili Union Version (SUV)

yeye naye atakunywa katika mvinyo ya ghadhabu ya Mungu iliyotengenezwa, pasipo kuchanganywa na maji, katika kikombe cha hasira yake; naye atateswa kwa moto na kiberiti mbele ya malaika watakatifu, na mbele za Mwana-Kondoo.

Kusoma sura kamili Ufu. 14

Mtazamo Ufu. 14:10 katika mazingira