Agano la Kale

Agano Jipya

Ufu. 14:1 Swahili Union Version (SUV)

Kisha nikaona, na tazama, huyo Mwana-Kondoo amesimama juu ya mlima Sayuni, na watu mia na arobaini na nne elfu pamoja naye, wenye jina lake na jina la Baba yake limeandikwa katika vipaji vya nyuso zao.

Kusoma sura kamili Ufu. 14

Mtazamo Ufu. 14:1 katika mazingira