Agano la Kale

Agano Jipya

Ufu. 11:18 Swahili Union Version (SUV)

Na mataifa walikasirika, hasira yako nayo ikaja, na wakati ukaja wa kuhukumiwa waliokufa, na wa kuwapa thawabu yao watumwa wako manabii na watakatifu, na hao walichao jina lako, wadogo kwa wakubwa, na wa kuwaharibu hao waiharibuo nchi.

Kusoma sura kamili Ufu. 11

Mtazamo Ufu. 11:18 katika mazingira