Agano la Kale

Agano Jipya

Mdo 27:42-44 Swahili Union Version (SUV)

42. Shauri la askari lilikuwa kuwaua wafungwa, mtu asiogelee na kukimbia.

43. Bali akida, akitaka kumponya Paulo, akawazuia, wasifanye kama walivyokusudia, akawaamuru wale wawezao kuogelea wajitupe kwanza baharini, wafike nchi kavu;

44. nao waliosalia, hawa juu ya mbao na hawa juu ya vitu vingine vya merikebu. Na hivyo watu wote wakapata kuifikilia nchi kavu salama.

Kusoma sura kamili Mdo 27