Agano la Kale

Agano Jipya

Mdo 26:20 Swahili Union Version (SUV)

bali kwanza niliwahubiri wale wa Dameski na Yerusalemu, na katika nchi yote ya Uyahudi, na watu wa Mataifa, kwamba watubu na kumwelekea Mungu, wakiyatenda matendo yanayopatana na kutubu kwao.

Kusoma sura kamili Mdo 26

Mtazamo Mdo 26:20 katika mazingira