Agano la Kale

Agano Jipya

Mdo 26:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Agripa akamwambia Paulo, Una ruhusa kusema maneno yako. Ndipo Paulo akanyosha mkono wake, akajitetea,

2. Najiona nafsi yangu kuwa na heri, Ee mfalme Agripa, kwa kuwa nitajitetea mbele yako leo, katika mambo yale yote niliyoshitakiwa na Wayahudi.

Kusoma sura kamili Mdo 26