Agano la Kale

Agano Jipya

Mdo 2:8-11 Swahili Union Version (SUV)

8. Imekuwaje basi sisi kusikia kila mtu lugha yetu tuliyozaliwa nayo?

9. Warparthi na Wamedi na Waelami, nao wakaao Mesopotamia, Uyahudi na Kapadokia, Ponto na Asia,

10. Frigia na Pamfilia, Misri na pande za Libia karibu na Kirene, na wageni watokao Rumi, Wayahudi na waongofu,

11. Wakrete na Waarabu; tunawasikia hawa wakisema kwa lugha zetu matendo makuu ya Mungu.

Kusoma sura kamili Mdo 2