Agano la Kale

Agano Jipya

Mdo 19:21 Swahili Union Version (SUV)

Mambo hayo yalipokwisha kumalizika, Paulo akaazimu rohoni mwake, akiisha kupita katika Makedonia na Akaya, aende Yerusalemu, akisema, Baada ya kuwako huko, yanipasa kuuona na Rumi pia.

Kusoma sura kamili Mdo 19

Mtazamo Mdo 19:21 katika mazingira