Agano la Kale

Agano Jipya

Mdo 12:23-25 Swahili Union Version (SUV)

23. Mara malaika wa Bwana akampiga, kwa sababu hakumpa Mungu utukufu; akaliwa na chango, akatokwa na roho.

24. Neno la Bwana likazidi na kuenea.

25. Na Barnaba na Sauli, walipokwisha kutimiza huduma yao, wakarejea kutoka Yerusalemu, wakamchukua pamoja nao Yohana aitwaye Marko.

Kusoma sura kamili Mdo 12