Agano la Kale

Agano Jipya

Gal. 6:6-8 Swahili Union Version (SUV)

6. Mwanafunzi na amshirikishe mkufunzi wake katika mema yote.

7. Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna.

8. Maana yeye apandaye kwa mwili wake, katika mwili wake atavuna uharibifu; bali yeye apandaye kwa Roho, katika Roho atavuna uzima wa milele.

Kusoma sura kamili Gal. 6