Agano la Kale

Agano Jipya

Gal. 4:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Lakini nasema ya kuwa mrithi, wakati wote awapo mtoto, hana tofauti na mtumwa, angawa ni bwana wa yote;

2. bali yu chini ya mawakili na watunzaji, hata wakati uliokwisha kuamriwa na baba.

3. Kadhalika na sisi, tulipokuwa watoto, tulikuwa tukitumikishwa na kawaida za kwanza za dunia.

Kusoma sura kamili Gal. 4