Agano la Kale

Agano Jipya

Gal. 2:16 Swahili Union Version (SUV)

hali tukijua ya kuwa mwanadamu hahesabiwi haki kwa matendo ya sheria, bali kwa imani ya Kristo Yesu; sisi tulimwamini Kristo Yesu ili tuhesabiwe haki kwa imani ya Kristo, wala si kwa matendo ya sheria; maana kwa matendo ya sheria hakuna mwenye mwili atakayehesabiwa haki.

Kusoma sura kamili Gal. 2

Mtazamo Gal. 2:16 katika mazingira