Agano la Kale

Agano Jipya

Ebr. 9:19 Swahili Union Version (SUV)

Maana kila amri ilipokwisha kunenwa na Musa kwa hao watu wote, kama ilivyoamuru sheria, aliitwaa damu ya ndama na ya mbuzi, pamoja na maji na sufu nyekundu na hisopo, akakinyunyizia kitabu chenyewe, na watu wote,

Kusoma sura kamili Ebr. 9

Mtazamo Ebr. 9:19 katika mazingira