Agano la Kale

Agano Jipya

Ebr. 5:7 Swahili Union Version (SUV)

Yeye, siku hizo za mwili wake, alimtolea yule, awezaye kumwokoa na kumtoa katika mauti, maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha Mungu;

Kusoma sura kamili Ebr. 5

Mtazamo Ebr. 5:7 katika mazingira