Agano la Kale

Agano Jipya

Ebr. 4:12 Swahili Union Version (SUV)

Maana Neno la Mungu li hai, tena lina nguvu, tena lina ukali kuliko upanga uwao wote ukatao kuwili, tena lachoma hata kuzigawanya nafsi na roho, na viungo na mafuta yaliyomo ndani yake; tena li jepesi kuyatambua mawazo na makusudi ya moyo.

Kusoma sura kamili Ebr. 4

Mtazamo Ebr. 4:12 katika mazingira