Agano la Kale

Agano Jipya

Ebr. 2:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Kwa hiyo imetupasa kuyaangalia zaidi hayo yaliyosikiwa tusije tukayakosa.

2. Kwa maana, ikiwa lile neno lililonenwa na malaika lilikuwa imara, na kila kosa na uasi ulipata ujira wa haki,

Kusoma sura kamili Ebr. 2