Agano la Kale

Agano Jipya

Ebr. 13:17 Swahili Union Version (SUV)

Watiini wenye kuwaongoza, na kuwanyenyekea; maana wao wanakesha kwa ajili ya roho zenu, kama watu watakaotoa hesabu, ili kwamba wafanye hivyo kwa furaha wala si kwa kuugua; maana isingewafaa ninyi.

Kusoma sura kamili Ebr. 13

Mtazamo Ebr. 13:17 katika mazingira