Agano la Kale

Agano Jipya

Ebr. 12:1 Swahili Union Version (SUV)

Basi na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii, na tuweke kando kila mzigo mzito, na dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa saburi katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu,

Kusoma sura kamili Ebr. 12

Mtazamo Ebr. 12:1 katika mazingira