Agano la Kale

Agano Jipya

1 Pet. 1:13-16 Swahili Union Version (SUV)

13. Kwa hiyo vifungeni viuno vya nia zenu, na kuwa na kiasi; mkiitumainia kwa utimilifu ile neema mtakayoletewa katika ufunuo wake Yesu Kristo.

14. Kama watoto wa kutii msijifananishe na tamaa zenu za kwanza za ujinga wenu;

15. bali kama yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, ninyi nanyi iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote;

16. kwa maana imeandikwa, Mtakuwa watakatifu kwa kuwa mimi ni mtakatifu.

Kusoma sura kamili 1 Pet. 1