Agano la Kale

Agano Jipya

Zekaria 2:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, huyo malaika aliyezungumza nami akamwambia huyo mwenzake, “Kimbia ukamwambie yule kijana kwamba si lazima mji wa Yerusalemu uwe na kuta, la sivyo hapatakuwa na nafasi ya kuwatosha wakazi wake wengi na mifugo itakayokuwa ndani yake.

Kusoma sura kamili Zekaria 2

Mtazamo Zekaria 2:4 katika mazingira