Agano la Kale

Agano Jipya

Zekaria 14:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, kila mtu aliyesalimika kati ya mataifa yote yaliyokuja kuushambulia mji wa Yerusalemu, atakuwa akija Yerusalemu mwaka hata mwaka, kumwabudu Mwenyezi-Mungu wa majeshi aliye mfalme, na kuadhimisha sikukuu ya vibanda.

Kusoma sura kamili Zekaria 14

Mtazamo Zekaria 14:16 katika mazingira