Agano la Kale

Agano Jipya

Zekaria 10:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu asema hivi:“Nimewaka hasira dhidi ya hao wachungaji,nami nitawaadhibu hao viongozi.Mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi,nitalitunza kundi langu, ukoo wa Yuda.Nitawafanya kuwa farasi wangu hodari wa vita.

Kusoma sura kamili Zekaria 10

Mtazamo Zekaria 10:3 katika mazingira