16. Mwenyezi-Mungu amejionesha alivyo;ametekeleza hukumu.Watu waovu wamenaswa kwa matendo yao wenyewe.
17. Waovu wataishia kuzimu;naam, mataifa yote yanayomsahau Mungu.
18. Lakini fukara hawatasahauliwa daima;tumaini la maskini halitapotea milele.
19. Inuka, ee Mwenyezi-Mungu!Usimwache binadamu ashinde.Uyakusanye mataifa mbele yako, uyahukumu.
20. Uyatie hofu, ee Mwenyezi-Mungu,watu wa mataifa watambue kuwa wao ni watu tu!