14. Tazama! Mtu mbaya hutunga uovu,hujaa uharibifuna kuzaa udanganyifu.
15. Huchimba shimo, akalifukua,kisha hutumbukia humo yeye mwenyewe.
16. Uharibifu wake utamrudia yeye mwenyewe;ukatili wake utamwangukia yeye binafsi.
17. Nitamshukuru Mwenyezi-Mungu kwani ni mwema;nitaimba sifa za jina la Mwenyezi-Mungu, Mungu Mkuu.