Agano la Kale

Agano Jipya

Zaburi 7:14-17 Biblia Habari Njema (BHN)

14. Tazama! Mtu mbaya hutunga uovu,hujaa uharibifuna kuzaa udanganyifu.

15. Huchimba shimo, akalifukua,kisha hutumbukia humo yeye mwenyewe.

16. Uharibifu wake utamrudia yeye mwenyewe;ukatili wake utamwangukia yeye binafsi.

17. Nitamshukuru Mwenyezi-Mungu kwani ni mwema;nitaimba sifa za jina la Mwenyezi-Mungu, Mungu Mkuu.

Kusoma sura kamili Zaburi 7