Agano la Kale

Agano Jipya

Zaburi 37:39-40 Biblia Habari Njema (BHN)

39. Mwenyezi-Mungu huwaokoa waadilifu,na kuwalinda wakati wa taabu.

40. Mwenyezi-Mungu huwasaidia na kuwaokoa;huwatoa makuchani mwa waovu na kuwaokoa,maana wanakimbilia usalama kwake.

Kusoma sura kamili Zaburi 37