10. Utawaangamiza wazawa wao kutoka duniani;watoto wao hawatasalia kati ya binadamu.
11. Hata kama wakipanga maovu dhidi yako,kama wakitunga mipango ya hila,kamwe hawataweza kufaulu.
12. Kwa maana wewe utawatimua mbio,utawalenga usoni kwa mishale yako.
13. Utukuzwe ee Mwenyezi-Mungu kwa sababu ya nguvu yako!Tutaimba na kuusifu uwezo wako.