Agano la Kale

Agano Jipya

Zaburi 20:1-4 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Mwenyezi-Mungu akujibu uwapo taabuni;jina la Mungu wa Yakobo likulinde.

2. Akupelekee msaada kutoka hekaluni mwake;akutegemeze kutoka mlima Siyoni.

3. Azikumbuke sadaka zako zote;azikubali tambiko zako za kuteketezwa.

4. Akujalie unayotamani moyoni mwako,aifanikishe mipango yako yote.

Kusoma sura kamili Zaburi 20