1. Mwenyezi-Mungu akujibu uwapo taabuni;jina la Mungu wa Yakobo likulinde.
2. Akupelekee msaada kutoka hekaluni mwake;akutegemeze kutoka mlima Siyoni.
3. Azikumbuke sadaka zako zote;azikubali tambiko zako za kuteketezwa.
4. Akujalie unayotamani moyoni mwako,aifanikishe mipango yako yote.