32. Mungu ndiye anijaliaye nguvu kila upande;ndiye anayeifanya salama njia yangu.
33. Ameiimarisha miguu yangu kama ya paa,na kuniweka salama juu ya vilele.
34. Hunifunza kupigana vita,mikono yangu iweze kuvuta upinde wa shaba.
35. Umenipa ngao yako ya kuniokoa;mkono wako wa kulia umenitegemeza;wema wako umenifanikisha.