Agano la Kale

Agano Jipya

Zaburi 16:5-8 Biblia Habari Njema (BHN)

5. Wewe ee Mwenyezi-Mungu ndiwe riziki yangu kuu,majaliwa yangu yamo mikononi mwako.

6. Umenipimia sehemu nzuri sana;naam, urithi wangu ni wa kupendeza.

7. Namsifu Mwenyezi-Mungu kwa kuniongoza,usiku dhamiri yangu yanionya.

8. Namweka Mwenyezi-Mungu mbele yangu daima;yuko pamoja nami, wala sitatikisika.

Kusoma sura kamili Zaburi 16