Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 8:31 Biblia Habari Njema (BHN)

kama Mose mtumishi wa Mwenyezi-Mungu alivyowaagiza Waisraeli, kadiri ilivyoandikwa katika kitabu cha sheria ya Mose kwamba itakuwa madhabahu iliyojengwa kwa mawe ambayo hayakuchongwa, wala kuguswa na chombo chochote cha chuma. Juu ya madhabahu hiyo walimtolea Mwenyezi-Mungu tambiko za kuteketezwa na sadaka za amani.

Kusoma sura kamili Yoshua 8

Mtazamo Yoshua 8:31 katika mazingira