Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 7:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu wa Ai wakawaua Waisraeli thelathini na sita na kuwafukuza wengine kutoka lango la mji mpaka Shebarimu, wakawaua kwenye mteremko. Waisraeli wakafa moyo na kulegea kama maji.

Kusoma sura kamili Yoshua 7

Mtazamo Yoshua 7:5 katika mazingira