Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 7:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Waisraeli wametenda dhambi, maana wamelivunja agano langu nililowaamuru washike; wamevichukua baadhi ya vitu vilivyowekwa wakfu viangamizwe; wameviiba na kudanganya, wakaviweka pamoja na vitu vyao.

Kusoma sura kamili Yoshua 7

Mtazamo Yoshua 7:11 katika mazingira