Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 6:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Mji huo utaangamizwa na kila kitu kilichomo kwani umewekwa wakfu kwa Mwenyezi-Mungu. Rahabu, yule kahaba, ndiye atakayesalimishwa pamoja na wale ambao wamo nyumbani mwake kwa kuwa aliwaficha wapelelezi wetu.

Kusoma sura kamili Yoshua 6

Mtazamo Yoshua 6:17 katika mazingira