Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 6:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku ya saba, waliamka alfajiri na mapema, wakauzunguka mji huo mara saba kwa namna ileile. Ilikuwa ni siku hiyo tu ambayo waliuzunguka mji huo mara saba.

Kusoma sura kamili Yoshua 6

Mtazamo Yoshua 6:15 katika mazingira