Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 4:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Hao makuhani waliokuwa wamebeba lile sanduku la agano la Mwenyezi-Mungu walipotoka katikati ya mto Yordani, na kukanyaga ukingo wa mto, maji ya mto Yordani yakaanza kutiririka tena, na kufurika kama kwanza.

Kusoma sura kamili Yoshua 4

Mtazamo Yoshua 4:18 katika mazingira