Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 24:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Naye Balaki mwana wa Sipori, mfalme wa Moabu, akaja na kuwashambulia Waisraeli. Akamwalika Balaamu mwana wa Beori aje kuwalaani nyinyi.

Kusoma sura kamili Yoshua 24

Mtazamo Yoshua 24:9 katika mazingira