Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 24:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Mifupa ya Yosefu ambayo Waisraeli walikuwa wameileta kutoka Misri waliizika huko Shekemu katika eneo ambalo Yakobo alikuwa amelinunua kutoka kwa wana wa Hamori, baba yake Shekemu, kwa vipande 100 vya fedha. Ardhi hii nayo ikawa mali yao wazawa wa Yosefu.

Kusoma sura kamili Yoshua 24

Mtazamo Yoshua 24:32 katika mazingira