Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 24:14 Biblia Habari Njema (BHN)

“Sasa, basi, mcheni Mwenyezi-Mungu na kumtumikia kwa moyo mnyofu na uaminifu. Acheni kabisa miungu ile ambayo wazee wenu waliiabudu ngambo ya mto Eufrate na nchini Misri. Mtumikieni Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili Yoshua 24

Mtazamo Yoshua 24:14 katika mazingira