Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 23:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Kama mkivunja agano lake Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, ambalo aliwaamuru mlishike, mkaenda kuitumikia miungu mingine na kuisujudia, basi, hasira ya Mwenyezi-Mungu itawaka juu yenu, nanyi mtaangamia mara moja kutoka nchi hii nzuri ambayo amewapeni.”

Kusoma sura kamili Yoshua 23

Mtazamo Yoshua 23:16 katika mazingira