Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 22:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Muwe waangalifu kutii amri na sheria ambazo Mose, mtumishi wa Mwenyezi-Mungu, aliwaamuru: Kumpenda Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, mfuate anachotaka na kushika amri zake; mkae pamoja naye na kumtumikia kwa moyo wote na roho yote.”

Kusoma sura kamili Yoshua 22

Mtazamo Yoshua 22:5 katika mazingira