Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 22:27 Biblia Habari Njema (BHN)

bali tulitaka madhabahu hii iwe ushuhuda kati yetu na nyinyi na vizazi vyetu vijavyo kwamba sisi tunayo haki ya kumtumikia Mwenyezi-Mungu kwa sadaka zetu za kuteketezwa na tambiko zetu, na kwa sadaka zetu za amani, ili watoto wenu wasije wakawaambia watoto wetu kwamba hawana fungu lolote lao kwa Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili Yoshua 22

Mtazamo Yoshua 22:27 katika mazingira