Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 22:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Hamwoni kwamba Mwenyezi-Mungu ameweka mto wa Yordani kuwa mpaka kati yenu na sisi? Nyinyi makabila ya Reubeni na kabila la Gadi hamna fungu lolote lenu kwa Mwenyezi-Mungu.’ Hivyo watoto wenu wangeweza baadaye kusababisha watoto wetu waache kumwabudu Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili Yoshua 22

Mtazamo Yoshua 22:25 katika mazingira