Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 20:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Hii ndiyo miji iliyotengwa kwa ajili ya watu wote wa Israeli na wageni walioishi miongoni mwao, ili mtu yeyote atakayemuua mwenzake bila kukusudia akimbilie huko asije akauawa na mwenye jukumu la kulipiza kisasi cha damu, hadi hapo atakapohukumiwa mbele ya jumuiya nzima.

Kusoma sura kamili Yoshua 20

Mtazamo Yoshua 20:9 katika mazingira