Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 20:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwuaji ataendelea kuishi humo mpaka hapo atakapohukumiwa mbele ya jumuiya nzima ya Israeli na pia mpaka hapo yule kuhani mkuu ambaye alikuwa na madaraka wakati huo amefariki. Baada ya hapo mtu huyo ataweza kurudi nyumbani kwake katika mji ule alikotoroka.”

Kusoma sura kamili Yoshua 20

Mtazamo Yoshua 20:6 katika mazingira