Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 20:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Kisha Mwenyezi-Mungu akamwambia Yoshua,

2. awaambie Waisraeli hivi: “Jichagulieni miji ambamo mtu aweza kukimbilia usalama ambayo nilimwambia Mose akueleze.

3. Mtu yeyote akimuua mtu bila kukusudia anaweza kukimbilia katika mji mmojawapo na hivyo kumkwepa yule mtu aliye na jukumu la kulipiza kisasi cha damu.

Kusoma sura kamili Yoshua 20