Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 2:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Wapelelezi hao waliondoka wakaenda milimani. Walikaa huko kwa muda wa siku tatu mpaka wale waliokuwa wanawafuatia waliporudi mjini Yeriko, baada ya kuwatafuta na kukosa kuwaona.

Kusoma sura kamili Yoshua 2

Mtazamo Yoshua 2:22 katika mazingira